KILIMO FORUM

Mtandao huu ni kwa ajili ya kuelimishana juu ya Kilimo na Mifugo na changamoto zake. Karibu tujifunze wote.

Wednesday, September 28, 2016

KILIMO BORA CHA UFUTA

›
UTANGULIZI Ufuta (simsim/sesame) ni zao la kibiashara ambalo mbegu zake zina kiasi kikubwa cha mafuta kiasi cha asilimia 45 hadi 55.Na zao...
2 comments:
Tuesday, September 27, 2016

KILIMO BORA CHA MCHICHA

›
Mchicha ni mboga za majani na maua yake hutumika katika kutengeneza mchuzi rojorojo. Mbegu za mchicha ni chakula safi kwa watoto wachanga. M...
1 comment:
Monday, September 26, 2016

JINSI YA KUTENGENEZA CHAKULA CHA VIFARANGA WADOGO

›
Leo nataka nikuonyeshe jinsi ya kutengeneza chakula cha vifaranga wadogo yaani wa wiki 1 hadi wiki 4. Mahitaji muhimu katika utengenezaji ...
1 comment:
Tuesday, March 15, 2016

KIROBA- KUURUDISHA MUHOGO KATIKA CHATI.

›
Habarini ndugu zangu wapenzi wasomaji wa mtandao wangu, poleni na shughuri za ujenzi wa taifa.   Hatukuwa pamoja kwa wiki kadhaa kutokana na...
1 comment:
Wednesday, November 11, 2015

Re: MAANDALIZI YA KUPOKEA VIFARANGA NA UTUNZAJI WAKE.

›
On 11 Nov 2015 08:33, "Marcodenis Misungwi" < mmisungwi@gmail.com > wrote: Habari ndugu mpenzi msomaji wa makala zangu za ki...
1 comment:
Thursday, May 29, 2014

SHAMBANI SOLUTIONS: WHY AGRICULTURE NEEDS YOUNG PEOPLE

›
SHAMBANI SOLUTIONS: WHY AGRICULTURE NEEDS YOUNG PEOPLE : Currently, 2.5 billion people depend on agriculture for their livelihoods. Globally...
1 comment:
Saturday, May 24, 2014

UANDAAJI WA KAHAWA BORA.

›
KAHAWA BORA Ubora wa kahawa ndio uti wa mgongo kwa upatikanaji wa bei nzuri. Ili mkulima apate bei nzuri, ni muhimu azingatie kanuni zote ki...
1 comment:
Friday, May 23, 2014

KILIMO RAHISI CHA UYOGA KWA WAKULIMA WADOGO WADOGO.

›
Habarini ndugu zangu wakulima na wadau wote wa Kilimo. Nilikwisha wahi andika juu ya Kilimo bora cha Uyoga, na kueleza kwa kina ni jinsi gan...
1 comment:
Tuesday, May 13, 2014

ZIARA YA KUBADILISHANA UZOEFU KWA WAKULIMA KATIKA MRADI WA AGRA - AFYA YA UDONGO.

›
Habari za siku mbili tatu ndugu zangu wakulima na wadau wote wa kilimo. Poleni na shughuri za kilimo hasa uvunaji maana sasa ni kipindi cha ...
1 comment:
Friday, May 2, 2014

KILIMO HIFADHI CHA MATANDAZO NA KUPANDA BILA KULIMA.

›
Katika mfumo wa uchumi wa soko huria, mkulima wa Tanzania hana budi kushindana kwa kuzalisha mazao kwa wingi na kwa gharama ndogo. Inampasa ...
1 comment:
Monday, April 28, 2014

MICHAKATO YA KUHIFADHI VYAKULA MBALIMBALI KWA KUKAUSHA.

›
Wakulima wengi huingia hasara kubwa pale mazao yao yanapoharibika kwa kukosa masoko. Kufahamu michakato ya ukaushaji mazao utawawezesha kuya...
3 comments:
Sunday, April 27, 2014

SABABU ZINAZOWEZA KUATHIRI CHANJO KUTOA KINGA KWA KUKU INGAWA WAMECHANJWA.

›
Uzoefu umeonyesha kuwa wafugaji wengi wa kuku wa kisasa (Commercial Chicken). Kuku hupatwa na magonjwa ya virusi licha ya kuwa wamechanjwa. ...
1 comment:
Friday, April 18, 2014

UTUNZAJI BORA WA MAZAO BAADA YA KUVUNA.

›
Ndugu zangu wakulima, wadau wote wa kilimo na wasomaji wa mtandao huu. Tunaelekea kwenye mavuno sasa ambapo sehemu mbalimbali ama wameanza a...
2 comments:
Sunday, April 13, 2014

ZIARA YA KAMATI YA UCHUMI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOZI YATEMBELEA MRADI WA BWAWA LA NANSAMA.

›
Jopo la waheshimiwa madiwani, Kamati ya Uchumi wametembelea mradi wa maji kwa ajili ya huduma za umwagiliaji katika kijiji cha Nansama kata ...
1 comment:
Friday, March 28, 2014

UZALISHAJI WA MBEGU BORA ZA MAHARAGE - DARAJA LA KUAZIMIWA UBORA (Quality Declared Seed), QDS.

›
Maharage n zao muhimu kwa chakula, lishe na kipato kwa familia na Taifa. Kwa mavuno mengi ni vizuri kuzingatia kanuni bora muhimu za kilimo ...
‹
›
Home
View web version
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile