KILIMO FORUM

Mtandao huu ni kwa ajili ya kuelimishana juu ya Kilimo na Mifugo na changamoto zake. Karibu tujifunze wote.

Wednesday, November 11, 2015

Re: MAANDALIZI YA KUPOKEA VIFARANGA NA UTUNZAJI WAKE.

›
On 11 Nov 2015 08:33, "Marcodenis Misungwi" < mmisungwi@gmail.com > wrote: Habari ndugu mpenzi msomaji wa makala zangu za ki...
1 comment:
Thursday, May 29, 2014

SHAMBANI SOLUTIONS: WHY AGRICULTURE NEEDS YOUNG PEOPLE

›
SHAMBANI SOLUTIONS: WHY AGRICULTURE NEEDS YOUNG PEOPLE : Currently, 2.5 billion people depend on agriculture for their livelihoods. Globally...
1 comment:
Saturday, May 24, 2014

UANDAAJI WA KAHAWA BORA.

›
KAHAWA BORA Ubora wa kahawa ndio uti wa mgongo kwa upatikanaji wa bei nzuri. Ili mkulima apate bei nzuri, ni muhimu azingatie kanuni zote ki...
1 comment:
Friday, May 23, 2014

KILIMO RAHISI CHA UYOGA KWA WAKULIMA WADOGO WADOGO.

›
Habarini ndugu zangu wakulima na wadau wote wa Kilimo. Nilikwisha wahi andika juu ya Kilimo bora cha Uyoga, na kueleza kwa kina ni jinsi gan...
1 comment:
Tuesday, May 13, 2014

ZIARA YA KUBADILISHANA UZOEFU KWA WAKULIMA KATIKA MRADI WA AGRA - AFYA YA UDONGO.

›
Habari za siku mbili tatu ndugu zangu wakulima na wadau wote wa kilimo. Poleni na shughuri za kilimo hasa uvunaji maana sasa ni kipindi cha ...
1 comment:
Friday, May 2, 2014

KILIMO HIFADHI CHA MATANDAZO NA KUPANDA BILA KULIMA.

›
Katika mfumo wa uchumi wa soko huria, mkulima wa Tanzania hana budi kushindana kwa kuzalisha mazao kwa wingi na kwa gharama ndogo. Inampasa ...
1 comment:
Monday, April 28, 2014

MICHAKATO YA KUHIFADHI VYAKULA MBALIMBALI KWA KUKAUSHA.

›
Wakulima wengi huingia hasara kubwa pale mazao yao yanapoharibika kwa kukosa masoko. Kufahamu michakato ya ukaushaji mazao utawawezesha kuya...
3 comments:
Sunday, April 27, 2014

SABABU ZINAZOWEZA KUATHIRI CHANJO KUTOA KINGA KWA KUKU INGAWA WAMECHANJWA.

›
Uzoefu umeonyesha kuwa wafugaji wengi wa kuku wa kisasa (Commercial Chicken). Kuku hupatwa na magonjwa ya virusi licha ya kuwa wamechanjwa. ...
1 comment:
Friday, April 18, 2014

UTUNZAJI BORA WA MAZAO BAADA YA KUVUNA.

›
Ndugu zangu wakulima, wadau wote wa kilimo na wasomaji wa mtandao huu. Tunaelekea kwenye mavuno sasa ambapo sehemu mbalimbali ama wameanza a...
2 comments:
Sunday, April 13, 2014

ZIARA YA KAMATI YA UCHUMI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOZI YATEMBELEA MRADI WA BWAWA LA NANSAMA.

›
Jopo la waheshimiwa madiwani, Kamati ya Uchumi wametembelea mradi wa maji kwa ajili ya huduma za umwagiliaji katika kijiji cha Nansama kata ...
1 comment:
Friday, March 28, 2014

UZALISHAJI WA MBEGU BORA ZA MAHARAGE - DARAJA LA KUAZIMIWA UBORA (Quality Declared Seed), QDS.

›
Maharage n zao muhimu kwa chakula, lishe na kipato kwa familia na Taifa. Kwa mavuno mengi ni vizuri kuzingatia kanuni bora muhimu za kilimo ...
Friday, March 21, 2014

KILIMO CHA UYOGA.

›
Ndugu zangu wakulima, wadau wa kilimo na watembeleaji wa blogu hii, kama mnakumbuka nilishawahi kuandika kuhusu mada hii ya Uyoga. Leo ntael...
Monday, March 10, 2014

MAGONJWA SUGU KWA KILIMO CHA KAHAWA NA UDHIBITI WAKE

›
Kahawa ni zao kubwa la biashara linaloliingizia taifa fedha nyingi za kigeni. Ni la pili baada ya Tumbaku. Lakini zao hili linakabiliwa na ...
1 comment:
Sunday, March 9, 2014

WADUDU WAHARIBIFU WA KAHAWA NA JINSI YA KUWADHIBITI

›
Udhibiti sahihi wa visumbufu vya mimea ni njia ni njia mojawapo ya kuongeza tija katika kilimo, na ubora wa mazao. Kwa kuwa kwa kipindi hiki...
1 comment:
Sunday, March 2, 2014

UTUNZAJI WA VIFARANGA

›
Habarini ndugu zangu wakulima, wafugaji na watembeleaji na wapenzi wa blogu hii. Leo ningependa tujulishane na kufundishana juu ya ufugaji w...
1 comment:
‹
›
Home
View web version
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile