KILIMO FORUM

Mtandao huu ni kwa ajili ya kuelimishana juu ya Kilimo na Mifugo na changamoto zake. Karibu tujifunze wote.

Friday, March 28, 2014

UZALISHAJI WA MBEGU BORA ZA MAHARAGE - DARAJA LA KUAZIMIWA UBORA (Quality Declared Seed), QDS.

›
Maharage n zao muhimu kwa chakula, lishe na kipato kwa familia na Taifa. Kwa mavuno mengi ni vizuri kuzingatia kanuni bora muhimu za kilimo ...
Friday, March 21, 2014

KILIMO CHA UYOGA.

›
Ndugu zangu wakulima, wadau wa kilimo na watembeleaji wa blogu hii, kama mnakumbuka nilishawahi kuandika kuhusu mada hii ya Uyoga. Leo ntael...
Monday, March 10, 2014

MAGONJWA SUGU KWA KILIMO CHA KAHAWA NA UDHIBITI WAKE

›
Kahawa ni zao kubwa la biashara linaloliingizia taifa fedha nyingi za kigeni. Ni la pili baada ya Tumbaku. Lakini zao hili linakabiliwa na ...
1 comment:
Sunday, March 9, 2014

WADUDU WAHARIBIFU WA KAHAWA NA JINSI YA KUWADHIBITI

›
Udhibiti sahihi wa visumbufu vya mimea ni njia ni njia mojawapo ya kuongeza tija katika kilimo, na ubora wa mazao. Kwa kuwa kwa kipindi hiki...
1 comment:
Sunday, March 2, 2014

UTUNZAJI WA VIFARANGA

›
Habarini ndugu zangu wakulima, wafugaji na watembeleaji na wapenzi wa blogu hii. Leo ningependa tujulishane na kufundishana juu ya ufugaji w...
1 comment:
Thursday, February 27, 2014

SEMINA ELEKEZI YA MIKOPO YA PEMBEJEO CHINI YA AGRA

›
Ili kufanikiwa katika kilimo kunahitajika Pembejeo bora mashambani. Pembejeo hizo zinahitaji fedha, na wakulima wetu wengi ni wakulima wadog...
1 comment:
Tuesday, February 18, 2014

MBOGA ZA MAUA: 2 BROKOLI.

›
Zao hili nalo pia ni geni katika nchi hii, lakini kwa kuwa linaendelea kulimwa na hupendwa na wakazi wengi, ni vizuri kuelewa jinsi ya kulis...
1 comment:
Thursday, February 13, 2014

MBOGA ZA MAUA 1. KOLIFLAWA

›
Zao hili hustawishwa kwa ajili ya kichwa au ua lake ambalo kwa kawaida ni jeupe na gumu. Ustawi wake karibu ni sawa na kabeji. Ingawa kolifl...
1 comment:
Friday, January 31, 2014

MAGONJWA YA NG'OMBE.

›
Ndugu wakulima na wasomaji wangu kwa ujumla, leo napenda tujulishane na kukumbushana kuhusu baadhi ya magonjwa ya ng'ombe. Leo tutaangal...
Thursday, January 30, 2014

Fw: UZALISHAJI BORA WA UYOGA.

›
Sent using a Sony Ericsson mobile phone ---- Original message ---- From: Marcodenis < mmisungwi@gmail.com > Sent: ‎30-Jan‎-2014...
1 comment:
Saturday, January 25, 2014

MAGONJWA MUHIMU YA KUKU

›
Kwa leo ndugu wasomaji nitayaelezea magonjwa mawili yasiyo na tiba ya kuku. Ili mkulima uweze kutambua jinsi ya kuwakinga kuku wako na kuepu...
1 comment:
Friday, January 24, 2014

SHAMBANI SOLUTIONS: ICT ADVANCEMENT SHOULD HELP FARMERS PRESS AHEAD

›
SHAMBANI SOLUTIONS: ICT ADVANCEMENT SHOULD HELP FARMERS PRESS AHEAD : ICT use has enabled farmers and businesspeople across the country to d...
1 comment:
Saturday, January 18, 2014

KULISHA KUKU WA ASILI

›
Kuku wa asili pia wanahitaji viinilishe vyote muhimu kama ilivyo kwa kuku wa kigeni kama wale wa nyama na mayai. Swala la msingi katika lish...
1 comment:
Thursday, January 16, 2014

KILIMO BORA CHA VITUNGUU.

›
KANUNI YA KWANZA. Kuotesha mbegu katika kitalu Tengeneza matuta yenye upana wa mita 1 na urefu wowote kutegemea na mahitaji yako. Weka mbole...
Saturday, January 11, 2014

UJUE UTUPA NA KAZI ZAKE

›
Utupa unaojulikana kwa jina la kitaalamu kama (Tephrosia vogelii). Kuna aina kuu tatu za Utupa ambazo hutofautiana kwa maua yake, yaani; Nja...
1 comment:
‹
›
Home
View web version
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile